Mon, 6 May 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Lori lililokuwa limebeba shehena ya sukari limepata ajali hii leo Mei 6, 2024, baada ya kuacha njia na kupinduka katika eneo la Mbembela jijini Mbeya katika barabara kuu ya Mbeya - Tunduma
Lori lililokuwa limebeba shehena ya sukari limepata ajali hii leo Mei 6, 2024, baada ya kuacha njia na kupinduka katika eneo la Mbembela jijini Mbeya katika barabara kuu ya Mbeya - Tunduma Endelea kuwa Karibu na Tanzaniaweb tutakuletea undani wa taarifa hii.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live