Kondakta wa Basi la Kampuni ya Sai Baba linalofanya safari kutoka Mkoani Dar Es Salaam kuelekea Mkoani Arusha, Greyson Mdee amesema walipofika eneo la Msambiazi Dereva wa Bodaboda alikuwa aki"Overtake" Lori na kupekea kugongana uso kwa uso na basi hilo
Amesema baada ya kugonga uso kwa uso Pikipiki ikawa imeingia chini ya gari, ambapo Mara baada ya ajali hiyo Dereva wa Basi hilo alifika katika kituo cha Polisi Korogwe kwa ajili ya kutoa Taarifa
Amesema wakati wanasubiri Jeshi la Polisi kuwasili maeneo hayo Bodaboda walivamia basi hilo na kumwaga mafuta ya Petrol ndani na kuchoma gari.
Tazama Video hapa Chini;