Tue, 31 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kobe anayedaiwa kuwa na umri wa miaka 149 amekuwa kivutio kwa wakazi wa Katavi katika banda la Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA) mkoani Katavi katika maadhimisho ya Wiki ya Mwanakatavi.
Kobe anayedaiwa kuwa na umri wa miaka 149 amekuwa kivutio kwa wakazi wa Katavi katika banda la Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA) mkoani Katavi katika maadhimisho ya Wiki ya Mwanakatavi.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live