Mon, 7 Nov 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Majaliwa Jackson almaarufu Majamunyama ni mvuvi ambaye ameshiriki kwenye zoezi la uokoaji wa manusura wa ajali ya ndege ya Precision Air iliyotokea Ziwa Victoria jirani na Uwanja wa Ndege wa Bukoba.
Hapa anasimulia jinsi kazi hiyo ilivyokuwa na namna alivyojaribu kumuokoa rubani wa ndege hiyo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live