Kamanda msaidizi wa Jeshi la Polisi kutoka Mkoa wa Simiyu Canatus ameendelea kutoa elimu kwa wazazi katika kata ya Dutwa iliyoko mkoani wilayani Bariadi mkoani Simiyu, ambapo katika zoezi hilo kamanda huyo ameendelea kuwasihi wazazi kuwafuatilia Watoto wao na kufahamu changamoto zao ili kuepuka vitendo vya ukatili ikiwemo ulawiti na ubakaji.
Kamanda msaidizi wa Jeshi la Polisi kutoka Mkoa wa Simiyu Canatus ameendelea kutoa elimu kwa wazazi katika kata ya Dutwa iliyoko mkoani wilayani Bariadi mkoani Simiyu, ambapo katika zoezi hilo kamanda huyo ameendelea kuwasihi wazazi kuwafuatilia Watoto wao na kufahamu changamoto zao ili kuepuka vitendo vya ukatili ikiwemo ulawiti na ubakaji. Kamanda huyo msaidizi wa Jeshi la Polisi mkoani Simiyu amesema kwamba “Ni vyema kujenga urafiki na Watoto wenu ili wawe huru kuwaeleza changamoto zao ikiwemo matukio ya ukatili hasa ulawiti na ubakaji”