Habari

Burudani

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Jokate aeleza kwa nini Temeke kwake ni nyumbani

Jokate Pic Data Jokate aeleza kwa nini Temeke kwake ni nyumbani

Wed, 23 Jun 2021 Chanzo: www.mwanaspoti.co.tz

Muda mfupi baada ya kuapishwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Temeke, Jokate Mwegelo alieleza kwenye salam zake amefurahi kurudi nyumbani. Hata hivyo leo Jumatatu Juni 23, 2021 ametoa ufafanuzi zaidi kwa nini amesema kwake Temeke ni nyumbani. “Kwenye salaam zangu kwa viongozi wenzangu wa Wilaya na Manispaa ya Temeke niliwaambia kuwa nimefurahi kurudi tena nyumbani Temeke. “Awamu hii nimerudi kwa ajili ya utumishi zaidi kwa wana Temeke wezangu na kwangu Temeke ni nyumbani sababu; Moja nilishiriki Miss Kurasini na Miss Temeke na Equator Grill, na Chang’ombe TCC ulikuwa ni uwanja wa nyumbani. Jingine ni kwamba “Nimesoma Shule ya Mt. Antoni Mbagala; nan pia nimeshuhudia mechi nyingi za Yanga SC akimpiga Simba SC Tanzania pale Uwanja wa Taifa kwa Mkapa.

Muda mfupi baada ya kuapishwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Temeke, Jokate Mwegelo alieleza kwenye salam zake amefurahi kurudi nyumbani. Hata hivyo leo Jumatatu Juni 23, 2021 ametoa ufafanuzi zaidi kwa nini amesema kwake Temeke ni nyumbani. “Kwenye salaam zangu kwa viongozi wenzangu wa Wilaya na Manispaa ya Temeke niliwaambia kuwa nimefurahi kurudi tena nyumbani Temeke. “Awamu hii nimerudi kwa ajili ya utumishi zaidi kwa wana Temeke wezangu na kwangu Temeke ni nyumbani sababu; Moja nilishiriki Miss Kurasini na Miss Temeke na Equator Grill, na Chang’ombe TCC ulikuwa ni uwanja wa nyumbani. Jingine ni kwamba “Nimesoma Shule ya Mt. Antoni Mbagala; nan pia nimeshuhudia mechi nyingi za Yanga SC akimpiga Simba SC Tanzania pale Uwanja wa Taifa kwa Mkapa.

Chanzo: www.mwanaspoti.co.tz