Sun, 5 Dec 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Ujenzi wa barabara za mwendokasi jijini DSM unaendelea na tayari mpango mzima wa ujenzi huo umetaja maeneo yatakayopitiwa.
Urefu: 20.3km
Daraja la juu la waenda kwa miguu: 1
Vituo vya mabasi: 27
Karakana: 1
Vituo vikuu: 2 (Kariakoo & Mbagala)
Vituo vya mlisho: 5
Madaraja ya juu: 3 (Chang'ombe, Uhasibu & BP-Bandari)
Chanzo: www.tanzaniaweb.live