Fri, 8 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kufuatia Mvua zinazoendelea kunyesha Jijini Dar wa Salaam, baadhi ya maeneo yameathirika na mvua hiyo.
Kufuatia Mvua zinazoendelea kunyesha Jijini Dar wa Salaam, baadhi ya maeneo yameathirika na mvua hiyo. Daraja la Malecela lililopo Mbezi chini kwa Zena limekuwa na hali mbaya na kusababisha vyombo vya usafiri kushindwa kupita katika daraja hilo kutokana na maji kujaa darajani hapo hadi kupita juu ya daraja lenyewe.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live