Habari

Burudani

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

HABARI MPYA: Shule ya Old Tanga inateketea kwa moto

76258 Pic+moto

Wed, 18 Sep 2019 Chanzo: mwananchi.co.tz

Tanga. Shule ya Sekondari Old Tanga nchini Tanzania inateketea kwa moto ulioanza leo mchana Jumatano Septemba 18, 2019.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga Edward Bukombe amesema chanzo cha moto huo ulioteketeza chumba cha mikutano na cha kuhifadhi vifaa bado hakijafahamika

Jitihada za kuuzima moto huo zinaendelea kwa vikosi vya zima moto kuuthibiti moto huo ili usiendelee kusababisha madhara zaidi.

Endelea kufuatilia Mwananchi kwa habari zaidi

Chanzo: mwananchi.co.tz