Fri, 21 Apr 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mbunge wa Arusha Mjini, Mrisho Gambo anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika Baraza la Eid litakalofanyika Jumapili Aprili 23, 2023 katika Ukumbi wa CCM Mkoa.
Mbunge wa Arusha Mjini, Mrisho Gambo anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika Baraza la Eid litakalofanyika Jumapili Aprili 23, 2023 katika Ukumbi wa CCM Mkoa. Hayo yamesemwa na Sheikh wa Wilaya ya Arusha, Hussein Said Ijunje akiwaalika Waislamu wa jiji hilo kuhudhuria baraza hilo siku ya Eid pili
Chanzo: www.tanzaniaweb.live