Tue, 11 Jul 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Watoto watatu wa familia moja ambao wamekuwa wakisumbuliwa na ugonjwa wa ngozi na kujikuna tangu wazaliwe wenyeji wa Kijiji cha Ikengwa wilayani Kondoa mkoani Dodoma, hatimaye wameanza kupatiwa matibabu ya maradhi ya ngozi baada ya msamaria mwema mmoja kujitolea kuwapeleka katika Hospitali ya Rufaa ya KCMC
Tazama Video hapa Chini,
Chanzo: www.tanzaniaweb.live