Fri, 3 Feb 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Daraja la Juu eneo la Magomeni mapipa lenye urefu wa Mita 236 limepangwa kuzinduliwa mwezi Machi mwaka huu.
Daraja la Juu eneo la Magomeni mapipa lenye urefu wa Mita 236 limepangwa kuzinduliwa mwezi Machi mwaka huu. Mratibu wa mradi wa DMP Halmashauri ya Kindononi Mkelewe Tungaraza amesema kuwa hadi Machi mradi huo ambao unagharimu kiasi cha Sh bilioni 3.2 utakuwa umekamilika
Chanzo: www.tanzaniaweb.live