Thu, 1 Jul 2021
Chanzo: millardayo.com
Mkuu wa Wilaya ya Lushoto ndugu Kalisti Lazaro leo ametembelea Kituo cha Afya Mlalo katika Halmashauri ya Wilaya ya Lushoto mkoani Tanga na kumkabidhi Mganga Mfawidhi wa hospitali hiyo Dr Mary G Haule Mizani ya Kupimia akina mama Wajawazito na Watoto iliyotolewa na Mkurugenzi wa Shirika la Improving Tanzania Foundation (ITF) ndugu Henrish Madambo
Pia Mkuu wa Wilaya ya Lushoto alikagua Stoo ya Madawa katika Kituo cha Afya cha Mlalo ili Kujiridhisha na upatikanaji wa Madawa katika kituo hicho cha Afya
MABASI 15 YAFUNGIWA SINGIDA ANGALIA RPC ALIVYOKUTA ABIRIA WAMEKAA CHINI
Chanzo: millardayo.com