"Hivi kwa mfano Dar es Salaam mkatufungia internet ya bure 'free Wi-Fi' kwenye vituo vya daladala, masoko makubwa, hospitalini na kwenye vyuo vikuu, kama litawezekana tutashangilia sana na maana halisi ya tukio hili itatafsiriwa vizuri na Wananchi wangu. Mimi nimejiunga na 4G juzi kati sasa huku 5G ni mbali sana tupo vizuri."Albert Chalamila, Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam
"Hivi kwa mfano Dar es Salaam mkatufungia internet ya bure 'free Wi-Fi' kwenye vituo vya daladala, masoko makubwa, hospitalini na kwenye vyuo vikuu, kama litawezekana tutashangilia sana na maana halisi ya tukio hili itatafsiriwa vizuri na Wananchi wangu. Mimi nimejiunga na 4G juzi kati sasa huku 5G ni mbali sana tupo vizuri."Albert Chalamila, Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Chalamila amesema hayo katika hafla ya uzinduzi wa Mkongo wa Baharini wa Airtel-2Africa na huduma ya Intaneti ya 5G, uzinduzi unaofanyika mkoani Dar es Salaam.