Mon, 19 Feb 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amesema wanaoiba transfoma za umeme wakikamatwa wanyweshwe kwanza mafuta yake kabla hawajapelekwa mahakamani.
RC Chalamila ametoa kauli hiyo leo alipokagua kituo cha kupozea umeme Mbagala Charambe kinachohudumia wananchi wa Wilaya ya Temeke, Mkuranga na Kigamboni.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live