Wed, 31 Aug 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Bad News: Mwanza Hotel ya jijini Mwanza inateketea kwa moto usiku huu wa leo Agosti 31, 2022.
Taarifa za awali zimeeleza kuwa moto huo umezuka majira ya saa 1:00 jioni, ambapo umeunguza upande wa Casino ya Dallas iliyopo ndani ya hoteli hiyo na kwamba mpaka sasa juhudi za kuzama moto huo zinaendelea.
Taarifa zaidi zitafuata...
Chanzo: www.tanzaniaweb.live