Mon, 2 Aug 2021
Chanzo: globalpublishers.co.tz
Breaking News: Ofisi za Kituo cha Tanesco Moro Zateketea – Video August 2, 2021 by Global Publishers
Taarifa zilizotufikia hivi punde ni kwamba, Ofisi za Kituo kikubwa cha kupokea na kusambaza umeme katika wilaya za mkoa wa Morogoro na mikoa ya Dar es Salaam, Tanga na Kilimanjaro zimeteketea kwa moto Msamvu, Morogoro muda huu.
Chanzo cha moto huo bado hakijafahamika, endelea kufuatilia mitandao yetu kwa taarifa zaidi.
View this post on Instagram
Share this:TweetWhatsApp Related
Chanzo: globalpublishers.co.tz