Habari

Burudani

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Bomoabomoa nyingine iliyofanyika Dodoma leo (+Video)

3204 BOMOO0 660x400

Wed, 14 Feb 2018 Chanzo: millardayo.com

February 13, 2018 Manispaa ya Dodoma imeanza utekelezaji wa bomoabomoa nyumba na vibanda vya biashara zilizojengwa bila vibali maalum kutoka manispaa kufuatia agizo lililotolewa hivi karibuni na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dr Binilth Mahenge ambapo kazi imeanza katika baadhi ya maeneo yanayozunguka hospitali ya mkoa, mtaa wa Kisasa pamoja na chako ni chako.



Ilivyokuwa Mahakamani katika kesi Lema na watuhumiwa 61 wa ugaidi

Chanzo: millardayo.com