Habari

Burudani

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Basi la New Force laanguka Mlima Kitonga

Wed, 17 Oct 2018 Chanzo: mwananchi.co.tz

Dar es Salaam. Basi la kampuni ya New Force lililokuwa linatoka Mbeya kuelekea Dar es Salaam limeanguka  katika mteremko wa Mlima Kitonga mkoani Iringa.

Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa, Deusdedit Kashindo amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo.

“Ni kweli ajali imetokea na RTO (mkuu wa usalama barabarani wa mkoa) anakwenda eneo la tukio. Lakini taarifa za awali kuna majeruhi tu.”

Endelea kufuatilia MCL Digital kwa taarifa zaidi

Chanzo: mwananchi.co.tz