Tue, 30 Mar 2021
Chanzo: globalpublishers.co.tz
Basi la Machame Laua 6 kwa Ajali, 19 Wajeruhiwa March 30, 2021 by Global Publishers
Watu 6 wamefariki dunia huku wengine 19 wakijeruhiwa baada ya basi la Machame Investment walilokuwa wakisafiria kutoka Dodoma kuelekea Arusha kuacha barabara na kisha kugonga gema na kupinduka.
Kamanda wa Polisi Babati mkoani Manyara Paul Kasabago amethibitisha kutokea kwa tukio.
Chanzo: globalpublishers.co.tz