Tue, 4 Jul 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Basi la Kampuni ya Happy Nation lenye namba za usajili T657 EBK lililokuwa likisafiri kutoka Mwanza kuelekea jijini Dar es Salaam limepinduka wilayani Igunga mkoani Tabora likiwa na abiria kadhaa.
Basi la Kampuni ya Happy Nation lenye namba za usajili T657 EBK lililokuwa likisafiri kutoka Mwanza kuelekea jijini Dar es Salaam limepinduka wilayani Igunga mkoani Tabora likiwa na abiria kadhaa. Habari kutoka mkoani Tabora zinaeleza kuwa watu wote waliokuwa ndani ya basi hilo wametoka wakiwa salama.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live