Tue, 22 May 2018
Chanzo: bongo5.com
Askofu wa Mkuu wa Kanisa la Anglikan Tanzania, Maimbo Mndolwa alikutana na kufanya mazungumzo ya faragha na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli Ikulu jijini Dar es salaam.
Askofu Mndolwa amesema kuwa kwasasa Tanzania inayokujainaonekana kuwa na Neema ya kipekee licha ya changamoto zilizopo.
Loading...
Chanzo: bongo5.com