Wed, 23 Jun 2021
Chanzo: ippmedia.com
Kafulila amesema imeelezwa kuwa Mganga huyo alishindwa kutimiza wajibu wake wa kufika zahanati hapo kumpatia huduma ya kujifungua mama huyo Christina Jilala na kupelekea mama huyo kupoteza damu nyingi hadi kufariki.
Kafulila amesema imeelezwa kuwa Mganga huyo alishindwa kutimiza wajibu wake wa kufika zahanati hapo kumpatia huduma ya kujifungua mama huyo Christina Jilala na kupelekea mama huyo kupoteza damu nyingi hadi kufariki. Aidha, ameagiza pia uchunguzi wa haraka ufanyike ili kubaini tuhuma hiyo kama ni ya kweli ili taratibu za kiutumishi zichukuliwe.
Chanzo: ippmedia.com