Tue, 22 Jun 2021
Chanzo: ippmedia.com
Aliyeshindwa kuapa leo ni Meja Edward Gowele wa Rufiji, ambaye imeelezwa kuwa amelazwa hospitali.
Aliyeshindwa kuapa leo ni Meja Edward Gowele wa Rufiji, ambaye imeelezwa kuwa amelazwa hospitali. Akizungumza wakati akiwaapisha wakuu hao wa Wilaya, Kunenge amesema anamuombea apone haraka na arudi kuendelea na majukumu yake.
Chanzo: ippmedia.com