Kufuatia tukio la kijana aliyefahamika kwa jina la Emmanuel John kupigwa risasi na askari wakati wa zoezi la ukamataji mifugo iliyokuwa ikisafirishwa kijijini hapo, Mkuu wa Wilaya ya Uvinza, Mhe. Dinnah Mathamani ameagiza hatua za haraka zichukuliwe kufuatia tukio hilo.
Kamanda wa Polisi mkoani Kigoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Filemon Makungu amesema tayari askari aliyefanya tukio amekamatwa kwa uchunguzi zaidi wakati huu ambao Emmanuel anapatiwa matibabu katika Hospitali ya rufaa Maweni mkoani Kigoma.
#VIDEO Kufuatia tukio la kijana aliyefahamika kwa jina la Emmanuel John kupigwa risasi na askari wakati wa zoezi la ukamataji mifugo iliyokuwa ikisafirishwa kijijini hapo, Mkuu wa Wilaya ya Uvinza, Mhe. Dinnah Mathamani ameagiza hatua za haraka zichukuliwe kufuatia tukio hilo.… pic.twitter.com/e9RaO0TPsh
— EastAfricaTV (@eastafricatv) June 10, 2024