Habari

Burudani

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Aliyeuawa na vijana wa JKT azikwa

Kifo Ed Aliyeuawa na vijana wa JKT azikwa

Tue, 8 Jun 2021 Chanzo: ippmedia.com

Akizungumza kwenye shughuli hiyo, Dk Naano amesema sheria itachukua mkondo wake kwa kila mtu aliyehusika na mauaji hayo ya kulipiza kisasi kwa kuwa Serikali inathamini maisha ya kila Mtanzania.

"Hili tukio lisihusishwe na Serikali, hawa walioshiriki wamelifanya wao kwa matakwa yao, wala hakuna mtu aliyewatuma na ndio maana tayari tunawashikilia vijana watano na niwahakikishie tu kwamba haki lazima itatendeka, ingawa kijana wetu amefariki na hatuwezi kumrudisha," amesema Naano.

Kwa upande wake Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mara, Longinus Tibishubwamu, amethibitisha kushikiliwa kwa vijana watano wa JKT kwa uchunguzi zaidi huku wakidaiwa pia kuwajeruhi watu wengine wawili kwa kipigo.

Chanzo: ippmedia.com