Habari

Burudani

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Aliyekaa Mochwa Mochwari Miezi 8 Azikwa

Mwili?fit=586%2C370&ssl=1 Aliyekaa Mochwa Mochwari Miezi 8 Azikwa

Thu, 2 Sep 2021 Chanzo: globalpublishers.co.tz

Hatimaye Mwili wa Wilson Ogeta mkazi wa Nyambogo Wilayani Rorya uliokaa miezi 8 mochwari, umezikwa kwa usimamizi wa Mkuu wa Wilaya ya Rorya, Juma Chikoka.

Wanafamilia wa marehemu wameiomba serikali kusimamia eneo la marehemu kurejeshwa kwa mjane ili kuendeleza shughuli za uzalishaji.

Mzee Ogeta alikuwa akiishi katika kijiji cha Nyambogo wilayani Rorya Mkoani Mara , alifariki dunia akiwa na miaka 89 na familia yake kushindwa kumzika baba yao huyo mzazi baada ya kuibuka mgogoro mkubwa wa mirathi.

Chanzo: globalpublishers.co.tz