Habari

Burudani

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Ajinyonga sababu ya ugumu wa maisha

Cf5a9347314eec5e2ef8c55d287dd156 Ajinyonga sababu ya ugumu wa maisha

Sun, 7 Mar 2021 Chanzo: www.habarileo.co.tz

Mkazi wa Kijij cha Kanazi Kata ya Ntantubila wilaya ya Nkasi mkaoni Rukwa, Deus Kakusu (52) amejinyonga hadi kufa, kwa madai ya ugumu wa maisha.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Rukwa, William Mwanampangale athibitisha mkasa huo na kudai kuwa mtu huyo alitumia chandarua cha mbu kujinyonga ndani ya jiko nyumbani kwake katika kijiji hicho cha Kanazi.

Mwenyekiti wa kijij hicho cha Kanazi, John Kebevage alisema marehemu amechukua uamuzi huo mgumu wakati mke na watoto wake wakiwa wamelala.

Chanzo: www.habarileo.co.tz