Mustapha Abdul (32) Mkazi wa Mwambasabi Kata ya Nyankumbu Mkoani Geita amefariki baada ya kujinyonga kwa kutumia kamba kwenye kenchi ya ndani ya nyumba huku chanzo kikiwa ni baada ya Mkewe kumtuhumu kuwa anatembea na Mdogo wake.
Mustapha Abdul (32) Mkazi wa Mwambasabi Kata ya Nyankumbu Mkoani Geita amefariki baada ya kujinyonga kwa kutumia kamba kwenye kenchi ya ndani ya nyumba huku chanzo kikiwa ni baada ya Mkewe kumtuhumu kuwa anatembea na Mdogo wake. RPC wa Geita, Henry Mwaibambe amesema; "Marehemu ameacha ujumbe kwamba amemua kujinyonga baada ya Mkewe kumtuhumu kutembea na Mdogo wake..."