Habari

Burudani

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Ahmed Albaity ashukuru jitihada za RC Makonda juu ya afya yake (Video)

Video Archive
Thu, 8 Mar 2018 Chanzo: bongo5.com

Mtanzania Ahmed Albaity ambaye anasumbuliwa na tatizo la uti wa mgongo amemshukuru Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda baada ya kukabidhiwa tiketi na pesa kwaajili ya kwenda kupatiwa matibabu nchini China. RC Makonda pamoja na wadau wengine wamefanikisha kupata hela ya safari, pesa ya matibabu pamoja na pesa ya matumizi ambapo zaidi ya milioni 106 zitatumika.

Mtanzania Ahmed Albaity ambaye anasumbuliwa na tatizo la uti wa mgongo amemshukuru Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda baada ya kukabidhiwa tiketi na pesa kwaajili ya kwenda kupatiwa matibabu nchini China. RC Makonda pamoja na wadau wengine wamefanikisha kupata hela ya safari, pesa ya matibabu pamoja na pesa ya matumizi ambapo zaidi ya milioni 106 zitatumika.

Chanzo: bongo5.com