Mon, 29 Jan 2018
Chanzo: bongo5.com
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Dkt. Mwigulu Nchemba alikuwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa Kampeni ya Chama cha Mapinduzi(CCM) zilizozinduliwa katika uwanja wa Biafra jijini Dar es salaam.
Picha:
Picha zote na Emmy Mwaipopo
Chanzo: bongo5.com