Thu, 9 Jun 2022
Chanzo: Tanzania
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa leo Juni 9, 2022, amekagua ujenzi wa nyumba za makazi za jeshi la zimamamoto jijini Dodoma.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa leo Juni 9, 2022, amekagua ujenzi wa nyumba za makazi za jeshi la zimamamoto jijini Dodoma. Kwenye hafla hiyo, alikuwepo pia Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Jumanne Sagini, Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Jabir Shekimweri na Kamishina Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, John William Masunga.
Chanzo: Tanzania