Tue, 31 Aug 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Spika Job Ndugai amesema Vyombo vingine vya Serikali na Chama vinapaswa kumuwajibisha Mbunge wa Kawe, Josephat Gwajima kutokana na kauli zake
Amesema kama hatowajibishwa na akarudia makosa aliyokutwa nayo, Kamati ya Maadili ya Bunge italazimika kumuita Waziri wa Mambo ya Ndani na kumuhoji.
Pia Spika huyo, ameviijia juu vyombo vya Dola kwa kulega kuchukua hatua dhidi ya Mbunge huyo kwa ukiukwaji mkubwa wa sheria aliofanya.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live