Habari

Burudani

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Waziri Mambo ya Ndani kuitwa Kamati ya Maadili Sakata la Gwajima

Ndugai234 Job Ndugai, Spika wa Bunge la Tanzania

Tue, 31 Aug 2021 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Spika Job Ndugai amesema Vyombo vingine vya Serikali na Chama vinapaswa kumuwajibisha Mbunge wa Kawe, Josephat Gwajima kutokana na kauli zake

Amesema kama hatowajibishwa na akarudia makosa aliyokutwa nayo, Kamati ya Maadili ya Bunge italazimika kumuita Waziri wa Mambo ya Ndani na kumuhoji.

Pia Spika huyo, ameviijia juu vyombo vya Dola kwa kulega kuchukua hatua dhidi ya Mbunge huyo kwa ukiukwaji mkubwa wa sheria aliofanya.

Chanzo: www.tanzaniaweb.live