Wed, 4 Apr 2018
Chanzo: bongo5.com
Baadhi ya wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA) wamejitokeza katika Mahakama ya Hakimu mkazi kisutu huku wakiendelea kuimba nyimbo za kuwataka viongozi wao waachiwe huru mbele ya askari polisi waliokuwa mbele yao.
Baadhi ya wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA) wamejitokeza katika Mahakama ya Hakimu mkazi kisutu huku wakiendelea kuimba nyimbo za kuwataka viongozi wao waachiwe huru mbele ya askari polisi waliokuwa mbele yao.
Chanzo: bongo5.com