Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson amesema ofisi yake imepokea majina ya Wabunge waliofanya safari za nje ya Nchi na kutumia huduma za 'VIP Class' badala ya 'Business' wanayostahili. Ofisi ya Katibu wa Bunge itawaandikia barua ili walipe gharama hizo
Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson amesema ofisi yake imepokea majina ya Wabunge waliofanya safari za nje ya Nchi na kutumia huduma za 'VIP Class' badala ya 'Business' wanayostahili. Ofisi ya Katibu wa Bunge itawaandikia barua ili walipe gharama hizo Kwa mujibu wa Spika, Wabunge wanastahili kupewa tiketi za 'Business Class' na huduma zilizopo chumba cha daraja hilo hilo na sio 'VIP' ambayo ina gharama za ziada