Tue, 21 Jul 2020
Chanzo: zanzibar24.co.tz
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amepita kwenye kura za maoni katika Jimbo la Ruangwa Mkoani Lindi, hii ni kwasababu Majaliwa alikuwa ni Mgombea pekee kwenye Jimbo hilo.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amepita kwenye kura za maoni katika Jimbo la Ruangwa Mkoani Lindi, hii ni kwasababu Majaliwa alikuwa ni Mgombea pekee kwenye Jimbo hilo.
Chanzo: zanzibar24.co.tz