Habari

Burudani

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Vijana ACT – Wazalendo walia ukosefu wa ajira (+Video)

Video Archive
Mon, 12 Mar 2018 Chanzo: bongo5.com

Katibu wa Sera na Tafiti, Kitentya Luth Ngome ya vijana wa ACT Wazalendo amesema kuwa wanasikitishwa na mwendendo wa Taifa hasa ukosefu wa ajira mpya na uwepo wa mazingira rafiki kwa wawekezaji wa ndani hususani vijana.

Akizungumza na waandishi wa Habari jijini Dar es salaam leo March 10, Katibu huyo ameitaka serikali kuimarisha uchumi ili kuongeza ajira na uzalisha na hasa kwa vijana ili kuondoa tatizo ukosefu wa ajira nchini.

Chanzo: bongo5.com