AliyekuwaxMwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amesema kuwa viongozi wa Chama hicho hawapaswi kuwaongopa watendaji wa serikali hususani katika maslahi ya wananchi wanyonge. Rais Magufuli ameyasema hayo leo katika mkutano wa 9 wa chama hicho unaoendelea mjini Dodoma: Tazama video hii akieleza.
AliyekuwaxMwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amesema kuwa viongozi wa Chama hicho hawapaswi kuwaongopa watendaji wa serikali hususani katika maslahi ya wananchi wanyonge. Rais Magufuli ameyasema hayo leo katika mkutano wa 9 wa chama hicho unaoendelea mjini Dodoma: Tazama video hii akieleza.