Mon, 29 Jan 2018
Chanzo: bongo5.com
Aliyekuwa Diwani wa Kimara (Chadema), Paschal Manota baada ya kuhamia CCM amesema kuwa viongozi wa Chadema walimnunia kwasababu kuna siku alifanyiwa mahojiano na TBC alimtaja Rais Magufuli; Tazama video hii Manota akieleza kisa cha kununiwa.
Aliyekuwa Diwani wa Kimara (Chadema), Paschal Manota baada ya kuhamia CCM amesema kuwa viongozi wa Chadema walimnunia kwasababu kuna siku alifanyiwa mahojiano na TBC alimtaja Rais Magufuli; Tazama video hii Manota akieleza kisa cha kununiwa.
Chanzo: bongo5.com