Waziri Mkuu mstaafu na Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ukanda wa Pwani, Fredrick Sumaye amesema kazi ya Mbunge si kwenda kumtetea Rais bungeni bali wananchi waliomchagua. Sumaye amesema hayo wakati wakati akimnadi mgombea wa wao Salum Mwalimu anayegombe jimbo la Kinondoni.
Waziri Mkuu mstaafu na Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ukanda wa Pwani, Fredrick Sumaye amesema kazi ya Mbunge si kwenda kumtetea Rais bungeni bali wananchi waliomchagua. Sumaye amesema hayo wakati wakati akimnadi mgombea wa wao Salum Mwalimu anayegombe jimbo la Kinondoni.