Mon, 29 Jan 2018
Chanzo: bongo5.com
Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema (CHADEMA) amewataka watu wa Kinondoni wasichague Chama cha Mapinduzi (CCM) katika Taifa hili wakati akimnadi mgombea wao Salum Mwalimu; Tazama dakika 5 za Mh. Lema akitema cheche.
Chanzo: bongo5.com