Tue, 30 Mar 2021
Chanzo: zanzibar24.co.tz
Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, limeanza kufanya Mkutano wa Bajeti kuanzia Machi 30, 2021 hadi Juni 30, 2021.
Katika Siku ya Kwanza ya Mkutano, Bunge litatambua Mchango wa aliyekuwa Rais wa Awamu ya 5, Hayati Rais John Magufuli na kuenzi maisha yake.
Pia, Wabunge wameazimia kumpongeza Rais wa Sita wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan
Chanzo: zanzibar24.co.tz