Mon, 4 Sep 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Rais Samia Suluhu Hassan amemuagiza Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP), Camillius Wambura kuhakikisha askari polisi wanakuwa na utimamu wa mwili ili kuweza kufanya kazi zao kwa ufanisi.
Rais Samia Suluhu Hassan amemuagiza Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP), Camillius Wambura kuhakikisha askari polisi wanakuwa na utimamu wa mwili ili kuweza kufanya kazi zao kwa ufanisi. Rais Samia ameyasema hayo leo Jumatatu Septemba 4, 2023katika hafla ya ufunguzi wa kikao kazi cha maafisa waandamizi wa Jeshi la Polisi unaofanyika Oysterbay jijini Dar es Salaam.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live