Wed, 1 Nov 2023
Chanzo: Millard Ayo
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Itikadi na Uenezi CCM, Paul Makonda tayari ameingia Jijini Dodoma kwa ajili ya mapokezi rasmi baada ya kuteuliwa kushika nafasi hiyo na hii ni baada ya mapokezi yaliyofanyika Dar es salaam.
Akiwa Dodoma amepokelewa na Viongozi wa Serikali na CCM na Wanachama wengine wa CCM katika eneo la Veyula na hapa ni kijiwe cha Kahawa ambapo amepita kusalimiana na Wananchi wa eneo hilo.
Chanzo: Millard Ayo