Mon, 17 May 2021
Chanzo: millardayo.com
Wabunge ambao ni wapenzi wa timu ya Yanga wakioonyesha vidole vinne wakati timu ya Simba Queens ilipokuwa ikitambulishwa bungeni leo, ikiwa ni ishara ya kuwakumbusha kipigo cha mabao 4 waliyofungwa Simba ilipokuwa ikipambana na Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini.
EXCLUSIVE: ALIEGOMBEA URAIS NA MAGUFULI ATEULIWA U-RC, “NILIFANYIWA FUJO IRINGA, UPINZANI UPO”
Chanzo: millardayo.com