Tue, 1 Nov 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Spika Dkt. Tulia Ackson ameitaka Bodi ya Mikopo ya Elimu ya juu (HESLB) kufika Bungeni kujibu tuhuma za kugomea Uchunguzi wa Kamati iliyoundwa na Waziri wa Elimu, Prof. Profesa Adolf Mkenda
Prof. Mkenda ameituhumu HESLB kukataa kutoa ushirikiano na taarifa kwa Kamati yake kuhusu uwepo wa upendeleo wa utoaji Mikopo kwa Wanafunzi wa Elimu ya Juu
Kamati ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii itaihoji Bodi ya Mikopo Ijumaa ya Novemba 4, 2022 Jijini Dodoma.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live