Habari

Burudani

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Siasa za Mama ni tofauti na zile -Bwege

Bwege Ed Siasa za Mama ni tofauti na zile -Bwege

Tue, 29 Jun 2021 Chanzo: ippmedia.com

Hata hivyo akiwa nje ya ukumbi wa Bunge, Bwege amepata nafasi ya kuzungumza na waandishi wa habari amesema, inawezekana akajiingiza tena katika kinyang'anyiro kwa kuwa siasa za Rais Samia ni tofauti na zilizopita.

“Kuna tofauti ya Bunge letu na hili, wingi wao naona hakuna uchangamfu wa bunge lakini wanajitahidi kwa sababu Mama Samia amewaambia waseme wanavyotaka kusema kwa hiyo wanajitahidi wanasema, kutokana na siasa ilivyobadilika inawezekana nikaingia tena kwenye kinyang’anyiro lakini ingekuwa siasa zile nisingeingia siasa za mama ni tofauti” - amesema Bwege.

Chanzo: ippmedia.com