Msanii wa Bongo Fleva na Bongo Movie ambaye pia Mjasiriamali Zuwena Mohamedi maarufu kama (Shilole) @officialshilole, amepitishwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kugombea nafasi ya Ujumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM (NEC) kwenye viti 15 Bara, uchaguzi unatarajiwa kufanyika siku ya kesho Dodoma.
Msanii wa Bongo Fleva na Bongo Movie ambaye pia Mjasiriamali Zuwena Mohamedi maarufu kama (Shilole) @officialshilole, amepitishwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kugombea nafasi ya Ujumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM (NEC) kwenye viti 15 Bara, uchaguzi unatarajiwa kufanyika siku ya kesho Dodoma. Kwa habari kemkem za kuhabarisha kuelimisha na kuburudisha tembelea Msasa Online kila wakati hakika hutopitwa na chochote saa 24.