Habari

Burudani

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Shaka Hamdu Shaka apendekezwa kuwa Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM (+video)

Video Archive
Fri, 30 Apr 2021 Chanzo: millardayo.com

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Samia Suluhu, amempendekeza aliyekuwa Kaimu Katibu Mkuu wa UVCCM Shaka Hamdu Shaka kuwa Katibu wa Itikadi na Uenezi wa chama hicho. Kwa sasa Polepole anahudumu katika nafasi hiyo.

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Samia Suluhu, amempendekeza aliyekuwa Kaimu Katibu Mkuu wa UVCCM Shaka Hamdu Shaka kuwa Katibu wa Itikadi na Uenezi wa chama hicho. Kwa sasa Polepole anahudumu katika nafasi hiyo.

Chanzo: millardayo.com