Fri, 19 Jan 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Doris Ntuli Kalasa kuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Iringa.
Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Doris Ntuli Kalasa kuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Iringa. Kabla ya uteuzi Kalasa alikua Afisa Mwandamizi ofisi ya Rais -Ikulu na anakwenda kuchukua nafasi ya Mhandisi Leonard Robert Masanja ambaye amestaafu.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live